Aliyekua Mbunge viti maalum Leticia Nyerere ameaga Dunia Jumapili katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo Lan ham, Maryland. Msiba DMV upo 9004 Brightlea Court, Lanham, MD 20706. Taarifa zaidi zitakujia baadae R.I.P. mama yetu mpendwa tulikupenda lakini Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.