Archives

CARNELLO ALVAREZ AMTWANGA AMIR KHAN KWA KO.

images
Carmello Alvarez amedhihirisha kwamba yeye ni mwamba kwa kumtwanga na KO mpinzani wake Amir Khan katika raundi ya sita katika pambano lililovutia watu wengi mjini Las Vegas Nv.Wachambuzi walijiuliza je uzoefu ni dawa lakini haikuwezekana maana Amir Khan alitamba katika raundi za mwanzo lakini baadae mambo yakawa magumu.
Khan hakuweza kuvumilia na kukjwepa makonde maziyto ya Carnello Alvarez na kutokana na hilo basi nafikri wakati wa kujizulu kwa Khan sasa ni dhahiri umewadia.
Khan ambaye pamoja na kushindwa ametia kibindoni dola milioni 2 nalijitapa kabla ya pambano hilo kwamba staili yake imebadilika na ataweza kupata ushindi lakini aligonga mwamba.